Hilarious: Wakisii, We Need To Talk Like Now

Date:

Wakisii please kuja mkutano huku:

#Tag your Kisii Friend na utoe battery😂😂😂😂

“Wakisii tafadhali wakati mtu anatravel mpatie instructions bado akiwa nyumbani, hii mambo ya kushout bus ikitaka kutoka..”pilot ngocha kidogo, Nyaboke ukifika Kangemi patia Mereni hiso avocado ziko kwa saga saga(paper bag) ya blue, Maziwa ni ya Onchweri akiwa Nairobi University ameniambia anakungocha hapo transline, kazi ni kungocha maziwa na nyumbani hakuji. Maindi patia Rose mwambie nitakucha kusalimia mtoto. Unga ya wimbi iko kwa saga saga ya black, toa vizuri upatie Onchweri apelekee Moraa, chunga usishikwe, naskia Nairobi watu wanashikwa na saga saga. Namba ya simu nimepatia pilot, ukifika Limuru pigie Anjericah umwambie umefika Limuru atume mtu akuche akusaidie kupepa mizigo, mwambie Kuku aperekee Chareti kwa sababu yeye ndio anatumanga pesa ya mborea. Nimepatia pilot silingi mia mocha ya kununua Maindi mkisimama kukochoa juu ameniambia mtakochoa Naroko/Narok. Aya basi safari nchema. Ukiona Mosoti mwambie ni sawa tu, uchungu wa mzazi ni mtoto wake kukataa kushika simu, simu hapokei, kasi ni ulevi Nairobi, kurewa siku zote harafu bibi akijifungua anaanza kuraramika eti mtoto hamfanani, nisipate mmperekea hata kama ni avocado mocha, wacha ateseke hapo Kawangware. eeeh! pilot ngocha nimesahau kumwambia akichoka anawesa kulala tu.”
#Stolen

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here


Share post:

Subscribe

spot_imgspot_img

Popular

More like this
Related

DR BEN CHUMO ACCUSED OF CHILD ABDUCTION AND INTIMIDATION AS FATHER KEV ODUOR DEMANDS ANSWERS

A bitter custody battle has exploded into the public...

DPP Version: Obado Orchestrated Calculated Plot to Murder Sharon Otieno, Court Urged to Convict

The Office of the Director of Public Prosecutions has...

Kisumu Public Trustee Office on the Spot Over Alleged Embezzlement of Orphans’ Trust Fund

Serious questions are emerging over the management of trust...